Tuma picha za matukio kwa whatsup +255744268417 Kwa habari tuma kwenye e-mali maishablognews@gmail.com

Tuesday, March 4, 2014

MAMA AISHA BILAL, MGENI RASMI SIKU YA WANAWAKE


  • Imeandikwa Na   
AISHA_321f4.jpg
Mke wa makamu wa Rais mama Aisha Bilal anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika shughuli za Siku ya Wananwake Duniani itakayofanyika March 8 Katika Ukumbi wa  Diamond VIP Hall. Pamoja nae ataongozana na kikundi cha wake wa viongozi cha Millenium  Women Group, Mada kuu ya mwaka huu ni kukomesha ukatili dhidi ya wanawake.

No comments:

Post a Comment