Tuma picha za matukio kwa whatsup +255744268417 Kwa habari tuma kwenye e-mali maishablognews@gmail.com

Saturday, March 29, 2014

TATIZO LA DAWA KATIKA ZAHANATI YA NZIHI

zahanati_ya_kidamali_1b87e.png
Kituo cha Afya Nzihi Kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Vijijini Tarafa ya Kalenga.
sagi_1_89ae8.png
Waandishi wa Habari wa kwanzajamii/mjengwablog Edraw Sagini ameketi katika kiti na mwandishi mwenzake Josephin Mkude akiwa amesimama pembezoni mwa ukuta wakisubiri dawa walizo agiza baada ya kuambiwa dawa Zahanati hapo hakuna na kuamua kuagiza kwa kutoa Fedha zao mfukoni ili kuweza kupata huduma ya Kwanaza katika Zahanati ya Nzihi iliyopo Karafa ya kalenga baada ya kujisikia vibaya wakiwa kikazi Kijijini hapo.
sag_ee3cd.png
Mwandishi wa Habari wa Kwanzajamii/mjengwablog Edraw Sagini akipaiwa huduma ya kwanza na Muhudumu wa Zahanati hiyo Agatha Geka baada ya kujisikia vibaya kwa kubanwa na kifua akiwa kikazi katika kijiji cha Nzihi Tarafa ya Kalenga.(Picha na Martha Magessa)

mjengwablog.com

No comments:

Post a Comment